CHADEMA ,IOMBEENI YAPATA PIGO TENA
CHAMA cha CCM leo kimempokea, Muslim Hassan Ally ambaye alikuwa mjumbe wa kamati kuu na mjumbe baraza la wadhamini la Chadema.
Hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es salaam eneo la Pugu. Mwaka 2015 Muslim Hassan alikuwa mgombea ubunge jimbo la Ilala kupitia Chadema na amepokelewa na makamu mwenyekiti wa CCM taifa bara, Philipo Mangula
Katibu wa CCM wa Manispaa ya Ilala, Joyce Ibrahim akimuapisha Muslim Hassan mara baada ya kujiunga na kukabidhiwa kadi ya CCM.
Akizungumza katika hafla hiyo Mangula amesema vyama vya upinzani wasiwatengenezee agenda kwani wanayoyafanya wanayaona watafanya moja baada ya lingine
Post a Comment