RAIS MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA
Mwambawahabari
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dk.John Magufuli amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi bila kuangalia maslahi urafiki, dini, kabila kadhalika amewasihi kutochagua viongozi watoa rushwa kwa kusema kuwa rushwa ni adui wa haki
Amesema kiongozi anapaswa kuwa mfano kwa wanachama na wananchi. Hapaswi kutuhumiwa kwa sifa mbaya kama ujambazi, madawa ya kulevya, rushwa n.k. Kuna msemo maarufu unasema 'mke wa Mfalme hapaswi kutuhumiwa kwa kuchepuka'
"Sio siri kwa mageuzi tuliyoyafanya ni makubwa sana na hatuna budi kuyasimamia na viongozi waliochaguliwa ndio watakakuwa na majukumu hayo" Alisema Rais Magufuli
Amesema kiongozi anapaswa kuwa mfano kwa wanachama na wananchi. Hapaswi kutuhumiwa kwa sifa mbaya kama ujambazi, madawa ya kulevya, rushwa n.k. Kuna msemo maarufu unasema 'mke wa Mfalme hapaswi kutuhumiwa kwa kuchepuka'
"Sio siri kwa mageuzi tuliyoyafanya ni makubwa sana na hatuna budi kuyasimamia na viongozi waliochaguliwa ndio watakakuwa na majukumu hayo" Alisema Rais Magufuli
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Dk.John Magufuli akizungumza na wanachama wa chama cha Mapinduzi wakati akifungua kifungua mkutano mkuu wa CCM mjini Dodoma leo Jumatatu Desemba 18, 2017.
Post a Comment