MWENYEKITI WA BODI YA FCC AIPONGEZA FCC KUSIMAMIA USHINDANI WA KIBIASHARA NCHINI.
Mwenyekiti wa Tume ya Ushindani FCC Dkt. Aggrey Kalimwage Mlimuka akizungumza na wafanyakazi wa Tume hiyo wakati alipotembelea banda la Tume ya Ushindani FCC katika maonesho ya 49 ya biashara ya Kimataifa yanayoendelea katikaviwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano kwa umma FCC Roberta Feruz
Mwenyekiti wa Tume ya Ushindani FCC Dkt. Aggrey Kalimwage Mlimuka leo leo Julai 11.2025 ametembelea katika banda la taasisi hiyo inayoshiriki katika Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika kwenye viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam ,banda la FCC lipo katika banda kubwa Wizara ya viwanda viwanda na Biashara mkabala na Banda la Jeshi la kujenga Taifa JKT.
Dkt. Mlimuka ameipongeza Tume ya Ushindani FCC kwa kazi nzuri inayofanya kuhakikisha Tanzania inaondokana ama kupunguza kwa kiwango kikubwa tatizo la bidhaa bandia nchini.
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano kwa umma FCC Roberta Feruz wapili kutoka kushoto akimpa maelezo Mwenyekiti wa Tume ya Ushindani FCC Dkt. Aggrey Kalimwage Mlimuka alipotembelea banda la Tume ya Ushindani FCC leo Julai. 11. 2025 katika maonesho ya 49 ya biashara ya Kimataifa yanayoendelea katikaviwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam,
Post a Comment