Ads

FLASHMO AJIPANGA KUNDONDOSHA ALBAM MPYA

 
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani anayefahamika kwa jina la FlashMo anayetamba na ngoma kali za Dancehall Let mi go, Light post pamoja na Lion step ameweka wazi kuwa hivi karibuni anadondosha Albam yake ya muziki 

 Amefunguka kuwa albam  hiyo ni kali sana na anatarajia kuitoa hivi karibuni.

FlashMo anaendelea kuvishukuru vyombo vyote  vya habari  Kwa ushirikiano  hapa nchini Tanzania.

No comments