Ads

Watu 6 Mbaroni kwa Tuhutuma za Kuwashambulia na Kuwarekodi Video za Utupu Watu wawili Waliodaiwa Kufumaniwa

 

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuwashambulia na kuwarekodi video za utupu watu wawili wanaodaiwa kufumaniwa na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii.

ch

No comments