Ads

FURSA KWA WATOTO : LIFE SKILLS PROGRAM

 

 

Wazazi pamoja na Walezi wenye watoto kuanzia miaka 9 hadi 16 wanatangaziwa kuwaleta watoto wao kwa ajili ya kushiriki katika mafunzo maalumu ya mpango wa stadi za maisha itakayofanyika Agosti 28 hadi 29 mwaka huu maeneo ya Mikocheni kwa Nyerere jijini Dar es Salaam.

Katika mafunzo hayo watoto watafundishwa mada nne ambazo ni tabia ya kula kiafya (Heathy eating), usafi wa uzazi (Repruductive hygiene), kukuza upendo wa kibinafsi (Cultivating Self Love) pamoja na kuogelea (Swimming).

Washiriki wote wanatakiwa kujisajili kwa kulipa gharama ya sh. 35,000  kwa Bi. Hilda Ngaja kupitia namba ya simu 0765 670 746.

Watoto wote Mnakaribishwa.

No comments