Ads

Kituo cha CORNWELL Tanzania kinatoa huduma kwa gharama nafuu sabasaba.

 

Daktari wa tiba mbadala  wa kituo cha CORNWELL Tanzania  Elizabeth Lema , akiwahudumia wateja walifikas bandani kwake.

Na Mwamba wa habari

Daktari wa tiba mbadala  wa kituo cha CORNWELL Tanzania  Elizabeth Lema ,anawakaribisha Wananchi  wote wanaotembelea maonesho ya 45 ya biashara ya kimataifa yanayo fanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius  Nyerere (Sabasaba) Kilwa road jijini Dar es salaam  ili waweze kupata  vipimo ,tiba na ushari wa kiafya.

'Dawa asili ni virutubisho tunakupa vitu ambavyo vitakusaidia ili uweze kupona mfano tunachai za wenye kisukari , za wenye presha  hivi na vya kula dawa vina saidia sana mwlini"

Amesema katika maonesho haya wanafanya  matibu na Dawa zote ziko katika ofa ya saba saba wameweka clinic ndogo wanafanya vipimo kwa nusu bei.

Tembelea banda lao katika banda lao namba kumi katika jengo la Kilimanjaro lilipo katika  maonesho ya 45 ya biashara ya kimataifa yanayo fanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius  Nyerere (Sabasaba) Kilwa road jijini Dar es salaam.


No comments