Ads

Waziri wa Kilimo Dkt. Tizeba asimamia zoezi la kusafirisha mbolea.

Mbolea tani elfu tatu (3,0000 ikiwa kwenye ghala la kuhifadhia mbolea la Kampuni ya Mohammed Enterprises lililopo eneo la Mbagala ikisubiri kusafirishwa  Jijini Dar es Salaam jana. Tani 600 ilitegemewa kusafirishwa jana.

 Gari iliyopakiwa mbolea ikiondoka kwenye kwenye ghala la kuhifadhia mbolea la Kampuni ya Mohammed Enterprises lililopo eneo la Mbagala  Jijini Dar es Salaam jana kuelekea mikoa ya Mbeya na Rukwa


ambapo tani 600 ilitegemewa kusafirishwa jana.


Waziri wa Kilimo, Dkt. Charles Tizeba akifanya mawasiliano ya moja kwa moja na mawakala wa mbolea katika mikoa ya Rukwa na Mbeya kupata uhakika wa kuwasili kwa shehena ya mbolea alipokuwa kwenye ghala la kuhifadhia mbolea la Kampuni ya Mohammed Enterprises lililopo eneo la Mbagala, Jijini Dar es Salaam jana.

No comments