Ads

KATIBU WA BUNGE NDG.KIGAIGAI AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA OFISI YA BUNGE KATIKA KIKAO CHA MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA BUNGE LEO MJINI DODOMA

IMGL8660
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kigaigai akizungumza na Menejimenti ya Utumishi wa Bunge katika kikao cha kufahamiana kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Spika Mjini Dodoma.
IMGL8671
Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakimsikiliza Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen kigaigai (katikati) akizungumza wakati wa kikao cha kufahamiana na Menejimenti ya Utumishi wa Bunge kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Spika Mjini Dodoma.
 PICHA NA OFISI YA BUNGE

No comments