TAHADHALI YA KUTOKEA BAALANJAA NCHI YATOLEWA.
Na:John Luhende
mwambawahabari
Mamlaka ya hali ya hewa ,idara ya usalama wa chakula mifungo na uvuvi na idara ya uratibu wa maafa kwa pamoja wametoa tahadhali kwa wananchi juu ya haliya hewa na chakula nchini kutokana na tishiola ukame unaotarajia kuikumbanchi.
Akizungumza na waandishi wa habari kaimu mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya hali ya hewa Dr Paschal Waniha amesema muelekeo wa mvua kwa kipindi cha mwezi October hadi December , kutakuwa na mvua chache zinazo tarajiwa kunyesha katika maenea machache ya nchi ispokuwa katika maeneo ya mikoa ya ziwa Victoria pamoja na mikoa ya kusini ndiyo pekee ya natarajiwa kuwa na mvua za kuridhisha.
Aidha ametahadharisha kuwa kuna uwezekano wa kuwa na mlipuko wa magojwa kutoka na uhaba wa Maji salaama na mifumo na matumizi ya maji taka katika miji na malisho hafifu ya mifugo na kuwa taka wafugaji wana ishi maenehayo kupunguza mifugo kwa kabla ya athali kubwa kutoka.
Naye mkurugenzi wa idara ya uratibu maafa ofisi ya waziri mkuu ametoa tahadhali kwa wizara ,taasisi za kiserikali ,mamlaka za mkoa na wadau wengine wa usimamizi wa maafa kuchukua hatua muhimu ili kukabiriana na athali hizo,kwa kuhifadhi chakula vizuri ,kuzuia matumizi ya nataka katika kutengeneza pombe , na kuwahimiza wana nchi kuhifadhi chakula cha kutosha hasa katika maeneo hali tajwa kuwa kame .
Pamoja na hayo idara ya usalama wa chakula ofisi ya waziri mkuu imemtakawakala wa taifa wa hifadhi ya chakula kununua na kuhifadhi chakula cha kutosha kutoka kwenye maeneo yenye ziada mapema ili kukabiliana na bada la njaa.

Post a Comment