Mratibu wa Kituo cha Usuluishi cha TAMWA, Bi. Gladness Hemedi Munuo akizungumza mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati walipokuwa wakilaani vikali ucheleweshwaji na upotoshaji wa kesi za vitendo vya ukatili.
Na John
Luhende
Kutokana
na kuongezeka kwa matukio ya unyanyasaji
na ubakaji nchiniChama cha waandishi wa
habari wanawake TAMWA kimetoa tamko kuhusiana na mwenendo wa
waripoti za matukio hayo yaliyo ripotiwa
Polisi na kufungulwa kesi mahakamani na
kusema kuwa chamahicho hakilidhishwi na
jinsi matatizo hayo yanavvyo shughulikiwa.
Akizungumza
na waandishi wahabari jijini Dar es saaam mkurugenzi mtendaji wa TAMWA bi Edda Sanga
hatua hiyo imekuja mara
baada ya TAMWA kubaini kuwa kesi 62 za ubakaji kushindwa kutolewa hukumu na maamuzi katika mahakama mbalimbali
jijini Dar es salaam katika kipindi cha mwaka 2014 -2015 kati ya kesi 63 nikesi mojatu mtuhumiwa amehukumwa kifungo cha miaka 30 jela,kesi 43 ziko mahakamani,kesi 7 zimeshindwa
kufika mahakamani ambapo kesi mbili zimefutwa kwa kukosekana ushahidi.
Amezitaja
taja Mahakama zinazolalamikiwa kuwa ni
pamoja na Mahakama ya Hakimu mkazi
Kisutu ,Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Ilala na temeke na kwa upande wa Hospitali baadhi ya madaktari
wamekuwa wamekuwa wakiwa omba Rushwa
walala mikaji na waathirika iliform zao
za pf3 zijazwe sahihi,sanjari na hilo badhi yao wame lalamikiwa kwa kupokea
pesa kutoka kwa watuhumiwa ili wapotoshe
ukweli,Chama hicho kinaunga mkono tamko
la mh Ra John Magufuli alilo litoa siku ya sheria Duniani linalo
sema kila hakimu wa mahakama
anapaswa kuhukumu kesi 260 kwa mwaka na
ahukumu kwa haki.
Mtoto akitoa ushaidi ni kwa jinsi gani alivyofanyiwa kitendo cha ukatili wa kijinsia.
Mwanasheria wa TAWLA, Mary Richard (wa kwanza kulia) akizungumza ni kwa jinsi gani wanavyowasaidia wanawake wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia leo katika mkutano na waandishi wa habari leo.
Post a Comment