Ads

Dkt Kigwangalla autaka uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Morogoro kurekebisha mapungufu yaliyopo

NAB1
Naibu Waziri wa  Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla alisamiliana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro(RAS) Elia Ntandu mara baada ya kuwasili mkoani  humo  jana  jioni kwa ajili ya kutembelea  Hospitali ya Rufaa ya Mkoa  wa Morogoro.
NAB2
Naibu Waziri wa  Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiangalia mfumo wa makusanyao ya mapato kwa  kutumia mtandao, ambao unafanya kazi sehemu ya usajili tu(mapokezi) kutokana na hali hiyo liagiza uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha unagunga mtandao huo kwenye maeneo yote ya malipo ili kuhakikisha mapato hayapotei.Aliyekaa katika kompyuta ni Mhudumu wa Afya wa Hospitali ya Rufaa ya Morogoro, Asteria Mbele na  kulia ni Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dkt Rita Lyiyamuya.
NAB3
Naibu Waziri wa  Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiangalia  jana baadhi ya vifaa vya maabara katika Hospitali ya Rufaa ya Morogoro .
NAB4
Naibu Waziri wa  Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiangalia na kuhoji  ni sababua zipi zinazosababisha  mashine ya kufanya uchunguzi wa magonjwa ya moyo ,figo na ini (BIOCHEMIST) ambayo haifanyi  kazi   mara baada ya kutembelea  Hospitali  ya  Rufaa ya  Morogoro .Kushoto  Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro(RAS) Elia Ntandu.
NAB6NAB8
NAB9
Naibu Waziri wa  Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akimwaagiza kuhakikisha taa za vyumba vya upasuaji zinafanya kazi, Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro(RAS) Elia Ntandu  ambapo alitoa muda wa siku  60 wakati alipotembelea  Hospitali ya Rufaa ya Morogoro .Pia  alitoa muda wa miezi sita wa kufanya marekebisho ya baadhi ya majengo.

No comments