SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI
Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai akisitiza jambo wakati akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Yasemin Eralp aliyemtembelea ofisini kwake. Katikati ni Katibu wa Balozi huyo.
Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai akisalimiana na Balozi wa Uturuki nchini Yasemin Eralp aliyemtembelea ofisini kwake Mjini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Bunge)
Post a Comment