Ads

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI

ak1Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Yasemin Eralp aliyemtembelea ofisini kwake leo tarehe 28 Januari, 2016, Mjini Dodoma.
ak2
Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai akisitiza jambo wakati akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Yasemin Eralp  aliyemtembelea ofisini kwake. Katikati ni Katibu wa Balozi huyo.

ak3
ak4
Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai akisalimiana na Balozi wa Uturuki nchini Yasemin Eralp aliyemtembelea ofisini kwake Mjini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments