Ads

BUNGE LIVE LALEJEA

 


Katibu wa Bunge, Nenelwa Mwihambi amesema baada ya maboresho ya Studio ya Bunge na Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia vikao vya Bunge vitaanza kurushwa mubashara kuanzia kesho Jumanne Aprili 5.

Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma leo  Katibu wa Bunge, Nenelwa Mwihambi, amesema bunge Kuoneshwa Mubashara kesho  katika mkutano wa saba wa bunge la bajeti.


No comments