Ads

SYRIAN PERFUME WATOA PUNGUZO LA BIDHAA ZAO SABASABA

Bwana Mohamed Abubakary akiwahudumia wateja  waliofika kupata mahitaji katika banda la Syriaperfume  sabasaba.


Bwana Mohamed Abubakary akiwahudumia wateja  waliofika kupata mahitaji katika banda la Syriaperfume  sabasaba.
Muonekano wa bidhaa za Sryian perfume katika banda lao  katika maonesho ya 45 ya biashara ya kimataifa 

Bwana Mohamed Abubakary akiwahudumia wateja  waliofika kupata mahitaji katika banda la Syriaperfume  sabasaba.


Wauzaji wakuu wa  Syrian  Perfume    zenye ubora wa kimataifa  wanakukaribisha katika Banda lao katika maonesho ya 45 ya biashara ya kimataifa ili uweze kujipatia bidhaa kwa bei nafu ya punguzo la sabasaba.

Ukitaka kuwapata njoo katika ukumbi wa karume (Karume Hall ) ukiingia ni banda  lakwanza upande wa kushoto utaona limeandikwa Syrian Perfume.

Mohamed Abubakary anasema , katika brand ya hii kunaaina tkribani 80 za  Syrian Perfume  za kike na za kiume  ,kuna ofer ya sabasaba  perfume zina  automizer unaifungua inakuwa imejaa  unaweza kutumia mchanganyiko wa perfume mbalimbali zamani ili kupata mchanganyiko huu na kwenda nayo popote , zamai  ilikuwa lazima uvumje chupa laikini sasa imerahisishwa .

Baada ya maonesho, Syrian Perfume  wanapatika Dar free market  orofa ya kwanza au tembelea www.syrianperfume.com au piga  simu  0657553355,  popote ulipo ukiagiza mzigo wanakuletea changamkia sasa ofa hii.

No comments