Ads

SOMALIA: VIONGOZI WAFIKIA MAKUBALIANO YA KUFANYIKA UCHAGUZI


Baada ya kukwama kwa miezi kadhaa, Viongozi wa Siasa Nchini humo wamefikia makubaliano yanayotengeneza njia ya kufanyika Uchaguzi Mkuu ulio Huru na wa Haki


Waziri wa Mambo ya Nje, Abdirizak Mohamed, amesema mojawapo kati ya hoja zilizofikiwa suluhu ni kuundwa kwa Kamati ya Uchaguzi. Kutokuwepo Kamati hiyo kulikwamisha Uchaguzi wa Wabunge mwezi Desemba

Muhula wa Uongozi wa Rais Mohamed Abdullahi Mohamed ulimalizika tangu Februari 2020

No comments