Ads

Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo kimeahirishwa ,sababu zatajwa.


 
Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo kimeahirishwa

kutokana na kifo cha Mbunge wa konde KHATIBU SAID HAJI kupitia chama cha

ACT Wazalendo.

Akitoa taarifa hiyo Naibu spika wa Bunge ,Tulia Ackson amesema kifo hicho

kimetokea leo ALFAJIRI katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam

na kwamba madhishi yatafanyika leo jioni huko Pemba Zanzibar


 

chn

No comments