Ads

TANZANIA YA YASHANGAZA MATAIFA ,YAWACHANZO CHA BARAKA ,KANISA HALISI LA MUNGU BABA KUFANYA MKUTANO MKUBWA

 



Na John Luhende

Imeelezwa kuwa Tanzania ndiyo nchi pekee Duniani iliyopewa upendeleo na  Mungu kuwa chanzo cha baraka.

Hayo yamebainishwa na  Babawauzao  wa kanisa halisi la Mungu Baba  lililopo Tegeta namanga,  alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari  jumapili ambapo amesema Mungu huviinua vinyonge na kuaibisha wenye nguvu 1Wakorintho 1:26.

Amesema , Waingereza waliweza kutafri Biblia kotoka  lugha za zamani Kama kiyunani  ,kiaramu ,kiratini kwenda lugha ya Kiingereza ambayo inasomwa na watu wengi dunianiwamarekani pia wanasiri nyingi zinazohubiri mambo ya   vitabu,Waswidish  iliwachukua miaka 8 baada ya kupokea kutoka mashariki ya kati wakaaambaza kila mahali, wajerumani pia waleweza kutafsri kuja Katika lugha ya kiswahili tuncho tumia leo Afrika ya mashariki.

Upendeleo huu unge weza wengeweza kupewa wengine mfano Nigeria na Africa ya kusini wamepewa kuwa na  mitume na manabii wengi wakubwa  sauti hii ingepitia kwao lakini tumepewa sisi watanzania 1Wakorintho 1:36.

Aidha amesema Tanzania itafaidika kiuchumi kutokana  na wageni wataokuja nchini katika mkutano mkubwa  unaotarajiwa kufanyika  uwanja wa Taifa mwishoni mwa mwaka huu 2020 .

"Waisrael  na watu wa Madina na Maka wakati sauti ilikuwa kwao watu wakienda kuhiji waliokuwa wanafaidika ni Taifa ndiyo maana hata Katika mapigano ya Waisrael na Waparestini hawashambulii wageni Katika mahoteli wanayofikia  wanatambua kuwa hao wanawaletea uchumi wageni hawa wakija ni wawote wanaleta uchimi kwa Taifa "Alisema

Hata hivyo amesema  Luka 11:33 na 8:16 na Marko 4:21 Inasema ukiwasha taa huweki chi ya uvungu au kitanda Bali huwekwa juu ya kiango ili iangaze  Isaya  60:1-3 Tanzania ametupa upendeleo hatuna ugonjwa wa CORONA  huu ndiyo wakati wa kuwaambia mataifa kuwa tumependelewa .

"Kuna mwanafunzi alikuwa anasoma India alipofika hapa nchini na alipofika nyumbani aliuliza  kwa nini Tanzania hatuvai barakoa Kama India alikiotoka? akajibiwa  Mwanangu tumepewa upendeleo Mungu yuko juu ya hiinchi , nataka niseme hili sijambo dogo nataka tuliweke juu ya kiango  sisi tunanuru lazima tuitangazie dunia mambo makuu ya Mungu.

Ameongeza kuwa waTanzania tulipoombwa na Rais Magufuli tuombe  juu ya CORONA  hata  mataifa mengine  waliomba tena wanamitume na manabii wengi lakini sisi waTanzania tulijibiwa mapema huu ni upendeleo aliotupa Mungu  bilakubagua ndiyo maana amesema mkutano huo si wa kanisa lake pekee bali ni wa watanzania wote.

"Kilammoja atakaye kanyaga Katika uwanja wa Uhuru siku hiyo Kama anamagonjwa  ama magojwa sugu atapona bila hata kuombewa"Amesema.

No comments