Shamsi vuai Nahodha amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mapema leo Asubuhi katika ofisi kuu ya CCM Zanzibar Kisiwandui na kufanya Idadi ya Wagombea Sita Hadi Sasa waliochukua Fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar
Post a Comment