Ads

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje Dkt. Damas Ndumbaro Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Balozi Wa Cuba Nchini


Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) amekutana na kufanya mazugumzo na Balozi wa Cuba nchini Mhe. Prof. Lucas Domingo Hernandez Polledo katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Katika mazungumo hayo viongozi hao wamekubaliana kuendelea kushirikiana katika sekta ya afya nchini na Cuba imeiomba Tanzania kuiunga mkono katika mpango wake wa kugombea kiti katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.

Pamoja na mambo mengine walizungumzia kuhusu jinsi ya kuboresha mahusiano yaliyopo katika kati ya Tanzania na Cuba, ambapo Cuba imekuwa mdau muhimu wa maendeleo ya sekta ya afya nchini.

1 comment:

  1. Your Affiliate Money Printing Machine is waiting -

    And earning money online using it is as simple as 1---2---3!

    This is how it works...

    STEP 1. Tell the system what affiliate products the system will push
    STEP 2. Add PUSH BUTTON traffic (this ONLY takes 2 minutes)
    STEP 3. See how the system grow your list and sell your affiliate products all by itself!

    Are you ready to start making money???

    Click here to start running the system

    ReplyDelete