Picha DC Mjema anogesha mapokezi ya wageni SADC
Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema (katikati)akiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jumanne Shauri na mwanamziki wa Segere Siza Mazongera katika mapokezi ya Viongozi wa SADC Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala akiimba na vikundi vya Hamasa eneo la Posta Manispaa ya Ilala katika mapokezi viongozi wa SADC waliowasili
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema akiwa eneo la Tazara Wilayani Ilala na Vikundi vya Hamasa katika mapokezi ya Viongozi wa SADC
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jumanne Shauri , wakicheza na vikundi vya hamasa eneo la Stesheni Wilayani Ilala leo katika mapokezi ya Viongozi wa SADC
Msanii wa Kizazi kipya wa nyimbo za Singeli Msaga sumu akitoa burudani katika mapokezi ya Viongozi wa SADC (Kushoto )Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema







Post a Comment