Ads

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIAHIRISHA BUNGE LEO JIJINI DODOMA.

Mwambawahabari
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba  ya kuahirisha Bunge jijini Dodoma, Februari  9.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akijadili jambo na Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angela Kairuki, bungeni jijini Dodoma, Februari 9.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments