MANYANYA ,AWATAKA WANANCHI KUTEMBELEA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA NDANI
Akizungumza katika haflahiyo Manyanya amesema , Wizara hiyo itaendelea kuratibu
sekta ya viwanda na kilimo na kuhakikisha
kunakuwa na tija kwa wakulima napia
amesema wataendelea kuweka mazingira wezeshi na kuondoa vikwazo kwa
wawekezaji na mkakati kabambe umewekwa.
Amewataka washiriki wa maonesho hayo kutumia vizuri fursa
ya soko huru na kuaacha tabia ya kuingiza biadhaa za magendo kwani inaathri
biashara ya bidhaa za ndani jambo ambalo
likiachwa liatadumaza biashara , amesema Serikali imeendelea kufanya ukaguzi wa
mara kwa mara kudhibiti wafanya biashara wasio waamifu ambao hulea bidhaa za
magendo kutoka nje yanchi na kushusha bei ya bidhaa na kuathiri biagha ya ndani.
Katika Maonyesho ya tatu ya biashaya biadhaa za Tanzania
na maadhimisho ya siku ya viwanda Afrika,
kumekuwa na ongezeko lawashiriki mwakahuu ambapo viwanda na Tasisi vimemefikia 513,mwaka huu kutoka wafanyabiashara 506,
mwaka jana 2017.
Serikali ya awamu ya tano
chini ya Rais Dkt John Pombe Magufuli imeweka nguvu kubwa katika ktekeleza sera ya ya Maendeleo endelevu ya Viwanda
(1996 -2020) awamu ya tatu inayo
tekelezwa kwa kipindi cha 2010 -2020
ambayo inatekelezwa kwa mkakati
unganishi wa maendeleo ya Viwanda na mpango wa pili wa maendeleo ya miaka mitano 2016/17
-2020/21 moja ya malengo ya awamu hiyo
ambapo ni kuiwezesha sekta ya Viwanda
kuleta mabadiliko ya uchumi ili
kuiwezesha nchi kufikia uchumi wa
kati.
Pamoja na hayo amesema serikali imechukua jukumu la kununua
korosho ili kumlinda mkulima , na
kuwaomba wafanyabiashara wenye uwezo kusaidia
kuagiza mashine za kubangua korosho
wafaye hiyo ili kuunga mkono juhudi za serikali kumkomboa mkulima .
“ Tunawahitaji wadau wa maendeleo kujitokeza kuwekeza
katika korosho na si kuwalangua wakulima kwa beindogo napia nasisitiza
watanzania tupende bidhaa zetu za ndani”alisema
Kwa upande wake
mwenyekiti wa Body ya TANRADE Dkt
Ngw’anza Kamata ,amesema Tantrade kazi
yake ni kuwatafutia masoko wafanya biashara
ndani nanje ya nchi na kwamba
yeye atasimamia maelekezo yote yanayo kuhusu biashara ili wafanya biashara
waweze kunufaika na pia Mamlaka hiyo
itaendelea kuyatambua na kuyaainisha masoko ndani nan je kwaajili ya
wafanyabiashara.
Amesema maonyesho ya biashara yanayofanywa na
TANTRADE yanalengo ya kuwakutanisha
wafanyabiasha , wenyeviwanda na watumiaji wabidhaa ilikuona namna wanvyo weza
kubadilishana mawazo na itasaidia kukuza biashara.
Post a Comment