Ads

(KWESE) TV 1 NA TBC ZA UNGANA KURUSHA LIVE MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA



Mwamba wa habari 

Na.John Luhende
KFS Tanzania imesema  itaanza rasmi kurusha  matangazo ya moja kwa moja ya michuano  ya mpira wa Kombe la Dunia  ( FIFA  ) word cup 2018 itakayofanyika fanyika nchini Urusi.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa KFS  Joseph Sayi  amesema kuwa   KFC    itarusha matangazo hayo kwa kushirikiana na  Kituo cha Televisheni ya Taifa TBC na kwamba matangazo hayo yatarushwa moja kwa moja kutoka nchini Urusi.





"Michezo ni moja ya burudani zinazo pendwa Sana Tanzania na Duniani hivyo KFS Tumeamua kuwapa burudani watazamaji wetu watazame KFS/ zamani TV1  na TBC kushuhudia mech zote" Amesema.

Aidha amesema Mkurugenzi wa  Masoko TBC wamefurahishwa  kufikia kwa hatua hiyo ya ushirikiano  heshima kubwa kwao kama Shirika la Utangazaji nchini na kwamba wanatarajia kufanya kazi kwa ukaribu na KFS Tanzania kwa kuwaunganisha  Mamiloni ya watanzania watakao tazama michuano hiyo bila malipo yoyote.


Ikiwa ni channel pekee ya bure ya michezo nchini KFS Tanzania imejitengenezea  wasifu kwa kuzalisha vipindi bora zaidi hapanchini na barani Afrika hadi vya kimataifa vinavyosimamiwa endana na watazamaji wake.

"Ni jambo la furaha kwetu kuleta Kombe la Dunia 2018 kwa Watanzania pia ni nyenzo ya kukuza na kuimarisha Uhusiano wetu na watazamaji hususani mashabiki wa michezo ya kila aina wanaotusogeza  na lengo letu ikiwa ni kuwasilisha burudani kupitia nyenzo mbalimbali ikiwemo kurasini zetu za kijamii  kama sehemu ya kusambaza ujumbe wetu wa burudani bure "Amesema Gillian Rugumamu.

Pamoja na michuano amesema timu ya uzalishaji vipindi ya KFS imeandaa Studio ya aina yake kuelekea kurusha matangazo zitakapo Rukanuga preview, highlight na mechi moja kwa moja zitakazo fanyiwa uchambuzi na wadau pamoja na watangazaji kwa lugha ya kiswahili, ambapo kwa mujibu wa Msimamizi mkuu  wa eneo hilo Mukhsin Mambo Studio itakuwa na Usha wishing wa wakereketetwa.

Kutakuwa na mechi 32 zikiwemo zitakazo chezwa na timu za Afrika Robo fainali, Nusu fainali pamoja na mechi ya mwisho ya fainali ambapo ufunguzi utafanyika tarehe 14 June 2018, KFS  Itapatikana kupitia channel 103 startimes , Continental channel 07 pamoja na Ting channel namba 36.


No comments