Ads

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYOJIRI BUNGENI.

Mwambawahabari
Displaying PMO_9769.JPG  
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali, Bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Displaying PMO_9740.JPG
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Displaying PMO_9735.JPG
 Waziri  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiwasilisha hati mezani, Bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Displaying PMO_9750.JPG
 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura (kushoto) na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Tekinolojia na Mafunzo ya Ufundi, Mhandisi Stella Manyanya wakiteta  bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Displaying PMO_9784.JPG
 Mbunge wa Mbulu Vijijini, Fratei Massay akimuuliza swali Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017.  Kushoto ni Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia na katikati ni Mbunge wa Viti Maalum Rita Kabati. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments