NHIF YABORESHA HUDUMA ZAKE,VITUO VITAKAVYO NYANYASAWATEJA "KUKIONA CHA MTEMAKUNI"
Mwambawahabari
| Kaimu mkurugenzi wa wa NHIF bwana Bernard Konga kushoto akizungumza mza na waandishi wa habari hawapo pichani , katika Makaomakuu yamfuko huo kurasini jijini Dar es salaam (picha na John Luhende) |
mwambawahabari
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga amesema NHIF haitasita kuwachukulia wamiliki wa vituo vya afya watakao kiuka makubaliano ya mkataba kama kumnyima huduma mwanachama au kufanya udanganyifu
Akizunguza na waandishi wa habari pia ameongeza kuwa watu wenye matatizo ya moyo, wajawazito na wenye maradhi ya kidole tumbo ambao ni wanachama watapata nafuu baada ya gharama za matibabu ya magonjwa hayo kuingizwa katika Huduma zinazotolewa na mfuko huo .
Aidha NHIF imetangaza kugharimia huduma za upasuaji wa moyo kwa viwango vyote pamoja na wa uzazi na ule wa kidole tumbo ambavyo hapi awali kwenye bima amesema kuwa kuanzishwa kwahuduma hizo kutapanua wigo wa upatikanaji wa huduma za afya ambapi awali wagonjwa walikuwa wakichangia gharama siku ya kwanza wanapomuona daktari na wanapokwenda mara ya pili lakini Sasa watalipa mara ya kwanza tu.
Hatahivyo Konga amesema kuwa NHIF hair as it a kimchi kula hatua Kali mtoa Huduma atakaye enda kinyume na mkataba ikiwwmo kunyanyasa wanachama wake au kufanya udanganyifu katika malipo ya Huduma na kwamba Madai yatokanayo na na udanganyifu hayatalipwa na mfuko huo.
Pamoja na hayo amefafanua kuwa mfuko huo kwamwakajana 2015_2016 umetumia kiasicha Tsh.209,675.23 million kulipia gharama za matibabu kwa wanachama wake ambapojumla ya wanufaika wa mfuko huo walio hudhuria vituo vya afya walikuwa 6,506,492.
Hatahivyo Konga amesema kuwa NHIF hair as it a kimchi kula hatua Kali mtoa Huduma atakaye enda kinyume na mkataba ikiwwmo kunyanyasa wanachama wake au kufanya udanganyifu katika malipo ya Huduma na kwamba Madai yatokanayo na na udanganyifu hayatalipwa na mfuko huo.
Pamoja na hayo amefafanua kuwa mfuko huo kwamwakajana 2015_2016 umetumia kiasicha Tsh.209,675.23 million kulipia gharama za matibabu kwa wanachama wake ambapojumla ya wanufaika wa mfuko huo walio hudhuria vituo vya afya walikuwa 6,506,492.
Post a Comment