LHRC YA ADHIMISHA MIAKA 21 NA WATOTO YATIMA KURASINI, YAITAKA SERIKALI KUFANYIA MAREKEBISHO SHERIA YA WA TOTO.
Na, John Luhende.
Mwambawahabari
Kituo cha sheria na haki za binadamu kimeiomba serikali kupitia wizara ya Afya ,Jamii jinsia ,wazee na watoto, pamoja na na wizara ya katika na sheria ,kufanya marekebisho ya sheria ya mtoto nakutilia mkazo malezi bora ya watoto ikiwemo kuweka kipengele kitakacho toa adhabu kali kwa familia itakayo shindwa kutoka malezibora kwa watoto.
Kituo cha sheria na haki za binadamu kimeiomba serikali kupitia wizara ya Afya ,Jamii jinsia ,wazee na watoto, pamoja na na wizara ya katika na sheria ,kufanya marekebisho ya sheria ya mtoto nakutilia mkazo malezi bora ya watoto ikiwemo kuweka kipengele kitakacho toa adhabu kali kwa familia itakayo shindwa kutoka malezibora kwa watoto.
![]() |
| Badhi ya wafanya Kazi wa LHRC wakiwa wamejumuika na watoto wa kituo kulea watoto wenyeshida,aliyeko upande wa kulia ni Mwanasheria Lulu Urio. |
![]() |
| Maafisa wa LHRC wakifurahi na kuimba pamoja na watoto katika madhimisho ya miaka 21 ya Kituocha sheria na haki za bina damu. |
Aidha Bisimba amesema ,sababu za kuwepo kwa watoto wa mitaani
kumechangiwa na ndoa na mimba za
utotoni , wanawake kutelekezwa na waume zao hali ambayo
huchangia kuwazaa watoto na kuwatupa ,mahusiano mabaya baina ya wazazi ,ukatili
wanao fanyiwa watoto na familia zao, familia kusambaratika ,malezi ya mzazimmoja
,malezi ya Bibi,shangazi, walezi wengine , ulevi uliopindukia ,mfumo dume ,mila na
desturi zilizo pitwa na wakati halingumu ya uchumi na umasikini ulio kithiri.
| Afisa mfawidhi wa makao ya Taifa ya watoto kwenye shida kilichopo kurasini, Beatrice Laurence akizungumza na wgeni waliofika kutembelea makao hayo |
Amesema, hali ya ukatili kwa watoto nchini kulingana na ripoti
za Jeshi la polisi kupitia dawati la
jinsia kwa mwaka January hadi machi 2016 inaonyesha kuwa matukio ya kubakwa na kulawitiwa watoto yanazidi
kuongezeka kutoka 180 hadi 1765 ,kulinganisha na matukio 1585 yaliyo ripotiwa
mwaka 2015 ,ambapo watoto wa kike na kiume walio lawitiwa na kubakwa katika kipindi cha miezi saba walikuwa 2571, na miongoni mwa kesi hizo 1203
bado zipo katika hatua ya upelelezi na kesi 822 ziko mahakamani na watuhumiwa 234
wamekwisha hukumiwa.
Naye afisa mfawidhi wa kituo hicho Beatrice
Laurence ame kishukuru kituo cha sheria na haki za Nina damu kwakuona
umuhimu wa kutoka misaada katika kuwa saidia watoto wanao lelewa
hapo nakuwataka watanzania wengine badala ya kuelekeza nguvu
zao pekee kwa wathirika wa tetemeko huko Kagera kuwa kumbuka
na watoto yatima kwani nao wanayo kahitaji ya kibinadamu.
![]() |
| Badhi ya vitu vilivyo tolewa msaada na LHRC katika makao ya watoto wenyeshida(picha zote na John Luhende). |






Post a Comment