Ads

SERIKALI YAKUSANYA ZADI YA TRILION MOJA

Displaying 01.jpg
Displaying 01.jpg
Displaying 01.jpg
Displaying 01.jpg
 Na John Luhende
Mwambawahabariblog
Wizara ya fedha  na mipango leo imetoa  taarifa kwa umma ya mapkusanyo  ya mapato na matumizi ya serikali ambapo zaidi ya shilingi  zaidi ya trillion  moja kutoka katika vyanzo mbalimbali  vya mapato nchini zimekusanywa mwezi February 2016.

Akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es salaam  katibu mkuu wawizara hiyo  Serivacius Likwalile,  amesema hatua hii ya kutoa taarifa kila mwezi imekuja kufuatia agizo la  raisi lakukusanya mapato  kutoka vyanzo vyote vya mapato ya nchi na kutoa taarifa ya matumizi kwa wananchi  ili kuweka uwazi zaidi  na  kuacha utegemezi,na matumizi ya fedha hizo yameelekezwa zaidi katika maeneo muhimu yaliyoelekezwa na Rais wa  Jamhuri ya Muungano  Dr JOHN Magufuli.

Aidha Likwalile ameyataja maeneo  hayo kuwa ni Elimu bure ambapo    sh  billion 18.77kwaajili ya ada  zimetolewa ,blion 2kwajili ya ujenzi wa shule mkoa wa Dar  es    salaam alizo ahidi rais Magufuli wakati wa mkutano na wazee wa Dar es salaam,mafunzo kwa vitendo kwa vyuo vya uwalimu 35.
Bilion 1.65 na 99.1 million jumla 148.65 vifaavya kufundishia wakufunzi  18.829 posho wa wakufunzi jumla 4002. 1 nauli kwa wanafunzi wa vyuo 10.77   mishahara watumishi wa umma  na serikali za mitaa 515162 na wakala na taasisi   za serikali watumishi 41,256  nawtumishi wote wamelipwa  sh billion    573. 7

 Deni la taifa  bilionfa 842.1 michango kwa mifuko ya jamii 81.13 maendeleo  miradi mbalimbali 166.92 chuo chaudactari   mloganzila  18  bilion,  mikopo ya elimu kwa   wanafunzi  wavyuo  bilion  13.683  2.078tea,  mfuko wamaji  58.186 barabara na mawasiliano  nisha ti  na madini ( rea )20.199 Reli bilion 2.2034   mfuko wa jimbo  4.503 ahadi   ya Rais  kwamahakama  12 .3 bilion.


No comments