PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI ZIARA YA KAMATI YA UTEKELEZAJI UVCCM MKOA WA DAR ES SALAAM , ILIPOKUWA WILAYANI TEMEKE.
Mwamba wa habari
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya utekelezaji ya umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Dar es salaam wakisikliza maelekezo kwa makini kutoka kwa mtaamu wa ujenzi wa kituo cha Afya Yombo hayupo pichani ,ikiwa ni utekelezaji wa ialani ya CCM Wilayani Temeke wakwanza kulia ni mwenyekiti wa uhamasishaji na chipukizi Wilaya ya Ilala Saady Khimji,wapili kulia ni Mushi , anayefuata ni Katibu wa UVCCM mkoa wa Dar es Salaam, said Yassin said( picha zote na John Luhende )
Mwenyekiti
wa Umoja wa Vijana Wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es salaam Bw. Mussa
Kilakala akisaini kitabu cha wageni kaika ofisi ya Mkuu wa Wilaya
ya Temeke aliye upande wa kulia ni
katiti wa UVCCM mkoa wa Dar es salaam
Said Yassini waliptembelea ofisini hapo.
Mkuu
wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva aliye kushoto
akiwaongoza vijana kuelekea
katika ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa
ya Temeke,
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya utekelezaji ya umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Dar es salaam wakiwa katika wakisikliza maelekezo kwa makini kutoka kwa mtaamu wa ujenzi wa kituo cha Afya Yombo
Baadhi ya wakuu wa Idara katika Manispaa ya Temeke wakiwa kaika kikao na umoja wa Vijana CCM ,wakwanza upande wa kulia ni Mchumi wa Manispaa hiyo Benard Matekele, anaye mfuatia ni mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii na vijana wa wilaya hiyo halmashauri hiyo John Bwana ambapo katika taarifa yake , amewataka wanawake na vijana kuendelea kuresha fedha za mikopo walipatiwa ili na wengine waweze kukopeshwa
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya
utekelezaji ya umoja wa Vijana
UVCCM mkoa wa Dar es salaam wakiwa
katika picha ya pamoja.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya utekelezaji ya umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Dar es salaam wakisikliza maelekezo kwa makini kutoka kwa mtaamu wa ujenzi wa kituo cha Afya Yombo hayupo pichani ,ikiwa ni utekelezaji wa ialani ya CCM Wilayani Temeke wakwanza kulia ni mwenyekiti wa uhamasishaji na chipukizi Wilaya ya Ilala Saady Khimji,wapili kulia ni Mushi , anayefuata ni Katibu wa UVCCM mkoa wa Dar es Salaam, said Yassin said( picha zote na John Luhende )
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya utekelezaji ya umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Dar es salaam wakiwa katika wakisikliza maelekezo kwa makini kutoka kwa mtaamu wa ujenzi wa kituo cha Afya Yombo
Baadhi ya wakuu wa Idara katika Manispaa ya Temeke wakiwa kaika kikao na umoja wa Vijana CCM ,wakwanza upande wa kulia ni Mchumi wa Manispaa hiyo Benard Matekele, anaye mfuatia ni mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii na vijana wa wilaya hiyo halmashauri hiyo John Bwana ambapo katika taarifa yake , amewataka wanawake na vijana kuendelea kuresha fedha za mikopo walipatiwa ili na wengine waweze kukopeshwa
Sehemu ya Jengo la zahanati ya Yombo ikiendelea kujengwa
Post a Comment