WEALTH MANAGEMENT YA UTT AMIS KUSAIDIA WATANZANIA KUWEKEZA PESA ZAO KWA FAIDA
Mkurugenzi wa Masoko na uhusiano wa UTTAMIS Daudi Mbaga akizungumza na wa waandishi wahabari hawapo pichani( Picha na John Luhende) |
Na John Luhende
mwambawahabari
UTT AMIS, katika katika kusaidia watanzania kutunza malizao kwa usalama na uangalizi nzuri na kuleta faida yenye tija ,mfuko huo umeanzisha Huduma inayo julikana kwa jina la wealth management, natayari Huduma hiyo imeanza kufanyakazi.
UTT AMIS, katika katika kusaidia watanzania kutunza malizao kwa usalama na uangalizi nzuri na kuleta faida yenye tija ,mfuko huo umeanzisha Huduma inayo julikana kwa jina la wealth management, natayari Huduma hiyo imeanza kufanyakazi.
Akizungumza na waandishi wa habari mkurugenzi wa Masoko na uhusianowa mfuko huo Daudi Mbaga , amesema Huduma hii itasaidia kwa kiasi kikubwa hasa kipindi hiki ambapo watu bado wana utamaduni au mazoea ya kuweka pesa zao majumbani ambapo kufanya hivyo kuna athiri mzunguko wa fedha na amesema na kutoka mfano wa tukio lililo tokea huko arusha aliye fukia pesa chini zenye thamani ya shilingi milioni 30, wao katika Huduma yao watasaidia kuwekeze hizo pesa na kuzalisha faida kwa mwenye pesa.
Akizunguzia faida ya wealth management bwana Mbaga amesema Huduma hiyo nitofauti na Huduma zingine za kuweka hisa yenyewe hazalisha kuanzia asilimia 10% na kuendelea ,na amewakaribisha wote wenyenia ya kutumia Huduma hiyo kufika jengo la Sukari house ghorofa ya pili ili waanze kufurahia Huduma hiyo.
Pamoja na hayo Mbaga amefafanua kuwa utaratibu wa kuchukua pesa UTT , nitofauti na kuchukua pesa Bank kwa kuwa Bank MTU anakuwa amesema pesa lakini UTT anawekeza hivyo unapotaka kutoka pesa una lazimika kuaandika /kujazaform na kuanzia siku Tatu hadi siku kumi una weza kuchukua pesa zako.
Post a Comment