Ads

Habari picha Rais Magufuli azindua kiwanda cha kuchakata matunda cha Bahkresa Food Product Limited

mwambawahabari
Displaying 1923-Rais magufuli akizungumza na hadhira.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akiongea na Uongozi na  wafanyakazi  wa kiwanda cha Bhakresa Food Product  mara baada ya kuzindua kiwanda cha kuchakata Matunda kilichopo Mkuranga,Pwani.Kushoto kwake ni Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa makampuni ya Bhakresa  Bw.Said Salim Bhakresa

Displaying 1900-mwijage akizungumza.jpg

Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage akizungumza na Uongozi na  wafanyakazi  wa kiwanda cha Bhakresa Food Product  kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kuzungumza.Kushoto kwake ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli na Mwenyekiti wa makampuni ya Bhakresa  Bw.Said Salim Bhakresa.

Displaying 1874-mkuu wa mkoa wa pwani akiongea.jpg
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akitoa salamu za mkoa wa Pwani kwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli(katikati waliokaa) kabla hajaongea na Uongozi na  wafanyakazi  wa kiwanda cha Azam leo.Wengine Pichani ni Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage na Mwenyekiti wa makampuni ya Bhakresa  Bw.Said Salim Bhakresa
Displaying 1842-yusuph bakhresa akiongea.jpg
Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media Bw.Yusuph Bhakresa akitoa neno la Ukaribisho na maelezo mafupi kwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli  juu ya kiwanda kipya  cha kuchakata Matunda kilichojengwa Mwandege,Mkuranga,Pwani.Wengine Kushoto kwake ni Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo na Mwenyekiti wa makampuni ya Bhakresa  Bw.Said Salim Bhakresa

Displaying 1798-Rais magufuli akipata maelezo toka kwa bakhresa.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akiskiliza maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa makampuni ya Bhakresa  Bw.Said Salim Bhakresa kuhusu uzalishaji  unavyofanyika  katika kiwanda cha Bhakresa Food Product kilichopo Mkuranga,Pwani.

Displaying 1681-rais magufuli akikata utepe.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akikata utepe kuzindua kiwanda kipya cha kuchakata Matunda cha Bhakresa Food Product kilichopo Mkuranga, Pwani.Kulia kwake ni Mwenyekiti wa makampuni ya Bhakresa  Bw.Said Salim Bhakresa
Displaying 1726-rais akipata maelekezo juu ya vifaa vya kiwanda.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akipata maelezo toka kwa Mkurugenzi wa Masuala ya Jamii wa Bahkresa Group Bw.Hussein Yusuph Ally (mwenye kofia nyeupe) jinsi matunda yanayotumika kutengeneza juisi yanavyoifadhiwa katika mapipa maalum.Katikati ni Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo(wa kwanza kushoto).

Displaying IMG_1732.JPG
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akiangalia jinsi uchaguaji  matunda unavyofanyika kabla ya kuyachakata katika kiwanda kipya cha Bhakresa Food Product kilichopo mkuranga,Pwani.Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa makampuni ya Bhakresa  Bw.Said Salim Bhakresa na Mkurugenzi wa Masuala ya Jamii wa Bahkresa Group Bw.Hussein Yusuph Ally (mwenye kofia nyeupe).

Displaying 1798-Rais magufuli akipata maelezo toka kwa bakhresa.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akiuliza swali kwa mmoja wa  wafanyakazi  wa  kiwanda Bhakresa  Food  Product  kinachotengeneza   vinywaji  Mkuranga, Pwani.Kushoto  kwake  wanaotazama  ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo na Mwenyekiti wa makampuni ya Bhakresa  Bw.Said Salim Bhakresa

Displaying 1779-rais akisalimiana na mfanyakazi wa kiwanda cha azam.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akikaribishwa kiwandani  na mmoja wa wafanyakazi wa kiwanda cha Bhakresa Food Product wakati akiangalia vinywaji mbalimbali vinavyotengenezwa  kiwandani hapo Mkuranga,Pwani.

Displaying 1812-wafanyakazi wakiskiliza hotuba ya rais.jpg
Wafanyakazi mbalimbali wa Kiwanda cha Bhakresa Food Product wakimskiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli(hayupo pichani) wakati akizungumza nao mara baada nya kuzindua kiwanda cha kuchakata matunda Mkuranga,Pwani.



No comments