Ads

KIVUKO CHA MAGOGONI CHAUA SOMA HAPO CHINI( AUDIO IKO CHINI)

  mwambawahabariblog

Image result for PICHA ZA PANTON KIGAMBONI

Na John Luhende

mwambawahabariblog

Saa  chache baada ya kuzinduliwa daraja  la  katika kivuko cha magogoni jijini  Dar es salaam kumetokea ajali ya alfajiri kuamkia leo gari aina ya Hiace lililokuwa katika foleni ya kuingia katika kivuko Upande wa magogoni kuelekea Kigamboni lilizama katika Bahari kwakile kilichoelezwa kuwa dereva hakuweka break ya mkono (hand break) na kusababisha  gari hilo kuseleleka  hadi Baharini. .

 Kwamujibu wa Mashuhuda watukio hilo  wanasema gari hilo lilipewa kipaumbele kwani inasemekana lilikuwa limebeba waombolezaji waliokuwa wakienda msibani upande wa Kigamboni na kuamliwa  watu waliokuwa ndani ya gari hilo kushuka kwamujibu wa sheria ya kivuko  na kubaki mama mmoja ambaye inasemekana kuwa alikuwa mgonjwa anjulikanakwaji  la Nice Mwakarago kutoka mbeya na  nasasa  mama huyo ndiye aliye poteza maisha pamoja  na dereva wa gari hilo.

 Kutokana na maelezo ya mashuhuda hao walio zungumza na mwambawahabari  wengiwao wamsema ajali hiyo imesababisha Dereva wa gari hilo ambaye jina lake bado halifahamika  kwa uzembewa kutofunga break  yamkono  

wasikize ndugu wa marehemu na mashuhuda hao akiwemo mbunge wa kigamboni  Dr Faustine Ndungulile




No comments