Ads

YANGA SC YA SAINI MKATABABA WA MABILIONI NA SPORTPESA.

 



Rasmi Kampuni ya Kubashiri ya SportPesa imesaini mkataba wa Kihistoria na Young Africans SC wa Miaka Mitatu wenye thamani ya Sh. BIllion 12.335 kama mdhamini mkuu. 

Yanga Sc imesaini mkataba huo mara baada ya mkataba wa awali kumalizika.


Yanga Sc imesaini mkataba huo mara baada ya mkataba wa awali kumalizika mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu.

Yanga imewakilishwa na Rais wake Mhandisi Hersi Said huku Sportpesa ikiwakilishwa na Mkurugenzi wa uendeshaji wa kampuni hiyo Abbas Tarimba.

Fedha hizo Yanga Sc itakuwa inalamba Bilioni 4 kwa kila mwaka .

No comments