WIZARA YA AFYA YATOA SIKU 3 KWA BENKI KUREJESHA VITAKASA MIKONO KWENYE ATM
Mkurugenzi wa Idara ya Kinga wa Wizara Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Leonard Subi, amesema Benki zilikuwa zimeweka 'Sanitizers' kwenye ATM lakini kwa sasa hazipo
Ametoa siku tatu kwa Benki zote Nchini kurejesha vitakasa mikono kwenye ATM ili kupambana na maambukizi ya virusi vya Corona
Aidha, amesema kwa sasa Tanzania ni salama lakini kuna tishio la maambukizi Duniani, hivyo ni muhimu kuendelea kuchukua tahadhari.
Aidha, amesema kwa sasa Tanzania ni salama lakini kuna tishio la maambukizi Duniani, hivyo ni muhimu kuendelea kuchukua tahadhari.
Jamiiforums
Post a Comment