Ads

SPIKA WA BUNGE, MHE. JOB NDUGAI AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA NCHINI TANZANIA

Mwambawahabari
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiagana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania


(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments