AZAM FC YATINGA FAINAL KOMBE LA MAPINDUZI
Mabigwa watetezi Azam fc imefanikiwa kutinga hatua ya fainali kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga KMKM jumla ya mabao 3 kwa 0 katika mchezo nusu fainali uliopigwa leo uwanja wa Amaan, visiwani Zanzibar.
Mchezo wa pili wa nusu fainali utakuwa kati ya Simba na Malindi ambapo wataminyana saa 2:15 Usiku katika Uwanja wa Amaan.

Post a Comment