Ads

WAKURUGENZI, WAKURUGENZI WASAIDIZI NA BAADHI YA WATUMISHI OFISI YA BUNGE WAPATIWA SEMINA JINSI YA KUKABILIANA NA VIHASHIRIA HATARISHI NDANI YA OFISI YA BUNGE


Mkurugenzi wa Shughuli za Bunge, Ndg. Nenelwa Wankanga akifungua semina ya Jinsi ya kukabiliana na Vihashiria hatarishi ndani ya Ofisi ya Bunge kwa Wakurugenzi, Wakurugenzi wasaidizi, Wakuu wa Vitengo na baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Bunge iliyoanza leo katika kumbi za Bunge Mjini Dodoma.



Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakifuatilia semina iliyotolewa na Wahadhiri waandimizi kutoka Chuo kikuu cha Mzumbe Jinsi ya kukabiliana na Vihashiria hatarishi ndani ya Ofisi ya Bunge, iliyofanyika leo katika kumbi za Bunge Mjini Dodoma.

.PICHA NA OFISI YA BUNGE.

No comments