Ads

ZIARA ARUSHA NA MERU DC Jerry Murro


Mwambawahabari
 Mkuu wa Wilaya ya Arumeru  Mhe Jerry Muro Leo amefanya ziara ya kikazi pamoja utambulisho kwa watumishi wa Halmashauri Mbili  za Meru DC  yenye kata 26 na  Arusha DC yenye kata 27 zilizo katika Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.


Akiwa katika Halmashauri  Hizo amewataka watumishi kufanya kazi kwa Kuzingatia  Mahitaji ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi  CCM  ambayo ndio anasimamia Utekelezaji wake katika Halmashauri zote Mbili Zenye kata 53*

Katika Ziara Hiyo  Mhe Muro  ameambatana na Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe Iddi Hassan Kimanta* aliekuwa akikaimu Wilaya ya Arumeru, pamoja na Katibu tawala Bwana *Timotheo Mzava pamoja na baadhi ya Viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya ya Arumeru.


No comments