Ads

BREAKING NEWS, KIMENUKA YANGA SANGA ATISHIWA MAISHA ABWAGAMANYANGA.


Mwambawahabari 
Makamu Mwenyekiti wa Club ya Yanga  Clement Sanga , ametangaza kujiuzulu nafasi yake baada ya kupata vitisho vya kuuwa na watu wanaosadikiwa kuwa mashabiki na Wanachama wa Club hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari muda huu Sanga amesema tisho hilo lilianzatangu Ijumaa ya juma lililopita.

"Naipenda familia yangu na ninajukumu la kuilinda kwa hiyo ni bora nijiuzulu ninusuru Maisha yangu" Amesema

Mwambawahabari Tutaendelea kukujuza  yanayojiri ....... 

No comments