KIINGILIO CHA SIMBA VS YANGA CHATAJWA UWANJA WA UHURU OKTOBA 28,2017
Mwambawahabari
Kama unataka kuwaona
watani wa jadi, Simba na Yanga wakivaana Oktoba 28 kwenye Uwanja wa
Uhuru jijini Dar es Salaam, unalazimika kuwa na Sh 10,000 au mara mbili
ya hiyo, yaani Sh 20,000.
Kiingilio cha mzunguko ni Sh 10,000 wakati jukwaa kuu lenye pande mbili za Yanga na Simba litakuwa Sh 20,000.
Post a Comment