MAKAMU WA RAIS, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD JIJINI DAR ES SALAAM
Makamu
wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwajulia hali, Said Mohamed (kushoto) na
Balitiamo Damian waliolazwa katika
taasisi ya saratani ya Ocean Road Jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake
aliyoifanya katika hospitali hiyo leo Ijumaa (Julai 29, 2016).
Makamu
wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwajulia hali, Isaya Sanga (katikati) na
Abasi Bushole waliolazwa katika taasisi
ya saratani ya Ocean Road Jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake aliyoifanya
katika hospitali hiyo leo Ijumaa (Julai 29, 2016). Kulia ni Mganga Mkuu wa
Taasisi hiyo, Dkt. Damian Msemo.
Post a Comment