Ads

MBUGE WA SEGEREA ASUKA MIPANGO UKARABATI BARABARA YA BARAKUDA




 Hery Shaban Majira: Mbunge wa Jimbo la Segerea (CCM)Bonah Ladslaus akiongea na Maofisa wa Tarura wa Wilaya ya Ilala wakati wa makabidhiano ya barabara za Jimbo la Segerea (Picha na Heri Shaaban)


 Mbunge wa Jimbo la Segerea (kushoto) Bonah Ladslaus akiongea na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Machimbo Segerea Mariam Machichicha ambapo barabara ya machimbo inatarajia kutengenezwa kuanzia Barakuda kupitia kwa Dkt  Kundi hadi mbuyuni  kwa kiwango cha changarawe(PICHA NA HERI SHAABAN)

No comments