ADVOCATE GWAJIMA AMTAKIA HERI YA SIKU YA KUZALIWA JK
"Rafiki yangu ! Wewe umekuwa mtu mwema sana ktk maisha yangu ! Umekuwa rafiki wa kweli, mkarimu, mnyenyekevu na mwepesi wa kufika hata nyumbani kwangu pindi ninapopata matatizo ! Hivi kweli mtu wa namna hii, kwa nini mimi ADVOCATE GWAJIMA , nisikutakie Happy birthday" ameandika Gwajima
Post a Comment