Ads

MVUA YALETA ATHALI NYINGINE YA MIUNDO MBINU MORO

Mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta athari mbalimbali ikiwemo kuvunja Daraja la Barabara ya Mtoni katika eneo la Vibandani ambalo limevunjika mapema ya Leo March 9 Majira ya Asubuhi.

No comments