MTENDAJI AHUJUMU ZIARA YA MKUU WA MKOA WA IRINGA.
Mwambawahabari
mkuu
wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akiongea na wananchi wa kata ya Itandula
tarafa ya Kasanga wilani Mufindi wakati wa ziara ya Iringa mpya wamu ya
Pili
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Mtendaji
wa kata ya Itandula tafara ya kasanga amehujumu ziara ya mkuu wa mkoa
wa Iringa Ally Hapi kwa kuwakataza wananchi kutoa ushirikiano kwa mkuu
wa mkoa huyo.
Hayo
yamebaika wakati wa ziara hiyo ambao Paroko wa kanisa la kijiji cha
Nyigo aliposisima na kumwambia mkuu wa mkoa kuwa anahujumiwa katika
ziara hiyo na baadhi ya watendaji ambao sio waaminifu na waadilifu.
Akizungumza
kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Nyigo,Paroko
Sylvester Makungu alisema kuwa wananchi wametishwa na kukataza kuuliza
maswali na baadhi ya viongozi ndio maana unaona kwenye mstari wananchi
sio wengi kutokana na uoga uliopo.
“Hapa
wananchi wanakero nyingi na wanahamu ya kuuliza maswali ila viongozi
hawa unaowaona mbele hapa wameitisha vikao kabla hujafika na kuwakataza
wananchi wananchi wasiulize maswali yanayowahusu wao” alisema
Paroko
Sylvester aliwataja wanaohujumu ziara hiyo kuwa ni viongozi wa kata
Itandula na tarafa Kasanga kwa kuitisha vikao ambavyo sio rasmi lengo
likiwa kuhakikisha wananchi hawapati nafasi ya kuuliza swali ambalo kwa
namna moja au nyingine linawahusu wao.
Akijipia
hoja hiyo mbele ya mkuu wa mkoa wa Iringa,afisa tarafa wa tarafa ya
Kasanga Daniel Dugange alikiri kuwepo kwa vikao hivyo pamoja na zuio
hilo kwa wananchi na jambo hilo lilifanywa na mtendaji wa kata.
“Nilipofika
hapa nilikutana na vikao hivyo lakini mimi nilikataa na kuwaamuru
wananchi wawe na uhuru wa kuuliza maswali kwako kwa kuwa walikuwa na
hamu ya kukuona na kuuliza maswali ili watatuliwe kero zao” alisema
Dugange
Kwa
upande wake mtendaji wa kijiji cha Itandula alikiri kufanya kosa hilo
na kuomba msamaa kwa mkuu wa mkoa kuwa alifanya kosa hilo.
Naye
mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi alisema kuwakataza wananchi kuuliza
maswali ni kuhujumu ziara za kiserikali zenye lengo la kutatua kero za
wananchi wanyonge kwa kuwa serikali ya awamu ya tano imekuwa na lengo la
kutatua kero za wananchi.
Hapi
aliongeza kuwa kufanya hujuma kama hivyo ni kuwaongezea hasira wananchi
juu ya serikali ya awamu ya tano jambo ambao halina ukweli huo hivyo
viongozi wanatakiwa kutatua kero za wananchi na kuwafanya wananchi
waipende serikali yao.
Aidha
Hapi aliamua kumusamee mtendaji huyo na kutoa onyo kali kuwa asije
akarudia tena kuwa nyima haki wananchi walioiweka madarakani serikali ya
awamu ya tano chini ya Rais Dr John Pombe Magufuli.
According to Stanford Medical, It's indeed the one and ONLY reason this country's women live 10 years longer and weigh on average 19 KG lighter than us.
ReplyDelete(And by the way, it is not related to genetics or some hard exercise and EVERYTHING around "how" they are eating.)
P.S, What I said is "HOW", and not "what"...
TAP this link to reveal if this easy test can help you unlock your true weight loss possibilities
In this manner my associate Wesley Virgin's report starts in this shocking and controversial VIDEO.
ReplyDeleteYou see, Wesley was in the military-and soon after leaving-he unveiled hidden, "MIND CONTROL" tactics that the CIA and others used to get anything they want.
THESE are the EXACT same SECRETS many famous people (especially those who "come out of nothing") and the greatest business people used to become wealthy and famous.
You probably know that you only use 10% of your brain.
Mostly, that's because most of your BRAINPOWER is UNCONSCIOUS.
Perhaps this conversation has even taken place INSIDE your own head... as it did in my good friend Wesley Virgin's head 7 years back, while riding an unlicensed, beat-up trash bucket of a car with a suspended license and $3.20 in his pocket.
"I'm so fed up with living paycheck to paycheck! When will I finally succeed?"
You've been a part of those those types of thoughts, am I right?
Your very own success story is waiting to be written. All you need is to believe in YOURSELF.
CLICK HERE TO LEARN WESLEY'S METHOD