Ads

Baada ya Kufutwa Uanachama wa CCM ,Membe awatuliza watanzania

Muda mfupi baada ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM ikiongozwa na Mwenyekiti na Rais wa Tanzania Dkt Magufuli  kumfuta uanachama wa CCM Bernard Membe, Waziri huyo wa zaman wa Mambo ya Nje amefunguka na kutoa kauli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Membe amewataka wafuasi wawe watulivu na kwamba ataliongelea hilo muda si mrefu.

1 comment:

  1. Your Affiliate Money Printing Machine is waiting -

    And getting it running is as simple as 1...2...3!

    This is how it works...

    STEP 1. Input into the system what affiliate products you want to promote
    STEP 2. Add some PUSH BUTTON TRAFFIC (this ONLY takes 2 minutes)
    STEP 3. Watch the system explode your list and upsell your affiliate products all on it's own!

    Do you want to start making profits???

    Check it out here

    ReplyDelete