TCRA yatoa utaratibu wa kuhakiki laini Yako Ya Simu Kabla Ya Tarehe ya Mwisho January 20

Zikiwa zimebaki siku tatu laini za simu zisizosajiliwa kwa alama za vidole kufungiwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewaagiza Watanzania waliokamilisha usajili wa laini zao kuhakiki upya kwa kupiga namna *106#.
Taarifa kwa umma iliyotolewa jana Alhamisi Januari 16, 2020 na TCRA, imeeleza shughuli hiyo inapaswa kufanyika kabla ya kazi hiyo kuzima rasmi simu ambazo hazijasajiliwa Januari 20, 2020.

Post a Comment