MITAMBO YA KUNYANYULIA MIZIGO YA UJENZI WA MRADI WA JN HPP YAZINDULIWA RASMI FUGA
Mwambawahabari
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe.
Atashasta Nditiye(wa pili kutoka kushoto) akiambatana na Msemaji Mkuu wa
Serikali,Dkt.Hassan Abbasi (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi mtendaji wa TAZARA-Zambia,
Mhandisi.Bruno Chingandu (wa kwanza kulia) na Meneja wa TAZARA ,Mkoa wa
Tanzania, Fuadi Abdallah wa pili kulia wakiwa katika uzinduzi wa mitambo ya kunyanyulia mizigo stesheni ya
Fuga.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,
Mhe. Atashasta Nditiye(wa pili kutoka kushoto) akivaa kofia kujiandaa kuwasha
moja ya mitambo ya kunyanyulia mizigo ya ujenzi wa mradi wa Umeme JN HPP
iliyopo katika Stesheni ya Fuga, wa kwanza kushoto ni Meneja wa TAZARA ,Mkoa wa
Tanzania, Fuadi Abdallah.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe.
Atashasta Nditiye, akiendesha moja ya
mitambo ya Kunyanyulia mizigo iliyoko katika stesheni ya
Fuga wakati wa ufunguzi wa mitambo hiyo
hapo jana Agosti 19, 2019.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe.
Atashasta Nditiye, akitelemka kutoka kwenye moja ya mtambo wa kunyanyulia
mizigo mara maada ya kuuzindua hapo jana
katika Stesheni ya Fuga itayotumika kopokea na kusafirisha mizigo kwenda mradi wa Umeme JN HPP.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe.
Atashasta Nditiye, akipata maelezo fulani kutoka kwa Msemaji Mkuu wa Serikali,
Dkt.Hassan Abbasi wakati wa uzinduzi wa mitambo ya kunyanyulia mizigo ya ujenzi
wa mradi wa umeme JN HPP uliofanyika katika Stesheni ya Fuga.
(Picha na Idara ya Habari-MAELEZO)
Post a Comment