Ads

Rais Magufuli Amjulia Hali Mhe. Charles Kitwanga Aliyelazwa Hospitali Muhimbili Jijini Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amemjulia Mbunge wa Jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.

Utakumbuka January 31 mwaka huu Spika wa Bunge  Job Ndugai aliagana na Mbunge huyo katika Uwanja wa Ndege wa Jijini Dodoma kabla ya kusafirishwa kwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa  matibabu zaidi.

Advertisement

No comments