Ads

KUMBILAMOTO AANGUSHA NG'OMBE KUWASHUKURU WAPIGAKURA , NA KUWAAHIDI VINGUNGUTI MPYA.




Na John Luhende 
Mwamba wa habari
Diwani wa Vingunguti  Omary  Said Kumbilamoto amewashukuru wananchi na wapigakura wa kata hiyo kwa kumchagua tena kuwa Diwani wa kata hiyo  baada ya kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM  akitokea Chama cha wananchi  CUF .

Kumbilamoto ametoa shukrani hizoleo katika makao makuu ya CCM kata ya Vingunguti alipo  kuwa amweaandalia sherehe ya shukrani wananchi waliomuungamkono na kusema kuwa sasa kilicho baki ni kuwatumikia wananchi hao na kwamba hanachakuwalipa ila shukrani .

Aidha amesema  baadaya uchaguzi kumalizika sasa nikufanyakazi kutimiza ahadi alizo waahidi wananchi wa katahiyo ikiwemo kutatua kero za babara,Afya maji ,Elimu na Maji ambazo ndizo zinzonekana kuwa changamoto katika eneo hilo.

‘’Nashukuru kazi ya ujenzi wa barabara ya kwamnyamani  inakaribia kumalizika  nilipamabanasana ili ijengwe ujenzi wamachinjio ya kisasa ya vingunguti nayo karibuni ujenzi unaanza  pamoja na barabara  ya barakuda na mchakato wa kuomba pesa kwa TARURAukokaribu kukamilika ,lakini pia wataalamu wanafanya tathimini ya kuonagharama kiasi gani ya umeme utatumika ili tuweze kuwa taaza barabara zetu za mtaa’’ alisema.

Kwaupande wake Mbunge wa Ukonga Mwita Waitara ambaye naye alichaguliwa  katika uchaguzi uliofanyika tarehe 16 septemba  amempongeza Diwani Kumbilamoto kwa kuchaguliwa na kwakuwajali wananchi wake kwa kulanao chakula na kuwashukuru na kuahidi kutoa ushirikianao  ilikuweza kuwaletea wananchi wa  vinguti na Ilala kwa pamoja.

‘’ Tumechaguliwa na wananchi ili tuwatumikie ndugu wananchi wa Vingunguti nawahidi katika kuleta maendeleo ya  Manispaa yetu ya Ilala mimi na diwani wenu tutashirikiana katika mambo ya maendeleo najua bado mnazochangamoto nyingi kama sisi huko Ukonga lakini tutazitatua mojamoja hadi ziishe’’ alisema.

Nao baadi ya wananchi wakatahiyo walifika tika sherehe hiyo wamesema  wamekuwa na madiwani wengi waliopita katika katahiyo lakini  Kumbilamoto ni mtu mwenye moyo watofauti na nimmtu anaye jail waytu wake anashiriki katika matatizo yao na hata katika mazuri pia amekuwani mtu ambaye yuko kutumika ,kutoaushauri na msaada kwa muda wote.

‘’Ametuchinjia Ng’ombe tumekula naye tumejipongeza kwa ushindi  na amaetuambia kuwa sasa ni mwanzo mpya mwingine wa kutuwakilisha , sisitunaahiditu kumpaushirkiano  na tunaimani naye,  hatawewe ndugu mwandishi kama ulivyo uona umati huu niishara ya kuwa Diwani wetu anakubalika na watu wa vyama vyote  hawawengine wilikua humu ni wapinzani lakini kwa Kumbilamoto ni wote ni wamoja” alisema
Badhi ya Majungu ya chakula na mahanjumati ya chakula kilicho anadaliwa na Diwani Kumbilamoto kujipongeza na wapigakurawake baadaya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi uliofanyika  tarehe 16 /  Sept/20189  (Picha zote na Mwamba wa habari)

Wananchi wakigawiwa chakula katika sherehe ya shukrani iliyo andaliwa na Diwani wa  Vingungti Omary Kumbilamoto .
Diwani wa Vingunguti Omary Kumbilamoto akitoa neno la shukrani kwa wananchi walio jumuika naye katika sherehe ambayo aliwaandaalia.
Munge wa Ukonga Mwita Waitara akiwasalimu wananchi wa katikasherehe na kuwa shukuru kwa kumchagua Omary Kumbilamoto na  CCM kwa ujumla.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala Ubaya Chuma akizungumza na wananchi wa Vingunguti aliye upande wa kulia hap chini ni Mbunge wa Ukonga Mwita Waitara naye alifika kuungamkono Diwani Kumbilamoto.

No comments